SERIKALI YA MISRI YAMUAGA BALOZI NCHIMBI
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Mhe. Sameh Shoukry amemshukuru Balozi wa Tanzania nchini Misri anaemaliza muda wake Dr. Emmanuel Nchimbi kwa kazi kubwa aliyofanya ya kuimarisha uhusiano wa Tanzania na Misri. Amesema Tanzania kwa… Read More