Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania nchini Misri waiaga Timu ya Simba SC
Leo tarehe 06-04-2024 Brig. Jen. Ismail Shajack Ismail pamoja na Maafisa Ubalozi walifika katika Hoteli waliyofikia Timu ya Simba Sc na kuambatana nao hadi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Cairo kwa ajili ya kuagana.… Read More