ZIARA YA MH. BALOZI MAJ. GEN. RICHARD M. MAKANZO KWENDA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YA MISRI – KITENGO CHA USALAMA NA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA
Mheshimiwa Balozi Maj. Gen. Richard M. Makanzo tarehe 01.04.2026 alifanya ziara rasmi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, akipokelewa na viongozi waandamizi wa sekta ya usalama, hususan kitengo… Read More








