TANZIA
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri unasikitika kutangaza kifo cha Baba Mzazi wa Mhe. Balozi Meja Jenerali (Mst) Anselm Shigongo Bahati kilichotokea leo tarehe 14 Disemba, 2020 majira ya saa…
Read MoreMhe. Meja Jenerali (Mst) Anselm Shigongo Bahati, Balozi wa Tanzania Nchini Misri akipokea rasimu ya Mkataba wa ununuzi wa mahindi ya njano kutoka kwa Mwenyekiti wa kampuni ya Smart Group, Mr. Yasser Attia anaetaka…
Read MoreMhe. Balozi wa Tanzania nchini Misri, Meja Jenerali (Mst) Anselm Shigongo Bahati, akifanya mazungumzo na Wamiliki wa Kampuni ya ‘Metal Forming Technology’ wanaokusudia kufanya biashara ya bidhaa za Aluminum…
Read MoreUbalozi wa Tanzania nchini Misri unampongeza kwa dhati Mhe. John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kwa muhula wa pili kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ubalozi pamoja na Diaspora wa Kitanzania waliopo Misri,…
Read MoreTarehe 22 Julai, 2020 Mhe. Meja Jenerali (Mst) Anselm Shigongo Bahati, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri alifanya mazungumzo na uongozi wa Kampuni ya Giza Power kwa lengo la kuimarisha ushirikiano…
Read MoreTarehe 01 Julai, 2020 Mhe. Balozi Anselm Shigongo Bahati, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri aliwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Abdel Fattah Al Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu…
Read MoreTarehe 28 Januari, 2020, Mhe. Meja Jenerali Anselm Shigongo Bahati, Balozi wa Tanzania nchini Misri alikutana na kufanya mazungumzo na Kamati ya Baraza la Wawakilishi la Misri linaloshughulikia masuala ya Afrika…
Read More